Showing posts with label Michezo. Show all posts
Showing posts with label Michezo. Show all posts

Wednesday, May 4, 2016

Baao la Ugenini lawaondoa The Bavarians

Katika michuano ya UEFA champions league hatua ya nusu fainali iliyochezwa Ujerumani katika uwanja wa allienz arena, timu ya Bayern Munich ilishindwa kufudhu kuingia fainali ya michuano hiyp baada ya kufunga goli 2-1 ambapo magoli ya bayern yalifungwa na Alonso pamoja na Lewandoski huku Atletico Madrid likifungwa na griezmann ambapo katika aggregate wametoka 2-2.

Monday, January 4, 2016

Msanii Chipukizi Mequiz as Brain anaetamba na Wimbo wa Happy Day..

Picha hii ni cover ya wimbo wa Happy Day. Picha kwa hisani ya ActionRec Blog.

Msanii anayekuja kwa kasi katika muziki huu wa kizazi kipya wa kufokafoka anayejulikana kwa jina la Mequiz as Brain aliachia wimbo huu siku chache zilizopita. Msanii huyu aliongea na Blog hii nakusema kuwa atafanya mambo mengi mwaka huu wa 2016 katika tasnia hii ya muziki pia alisema kuwa ataachia video ya wimbo huu siku zijazo.

Wimbo huu kawashirikisha wakali wa muziki wa kizazi kipya Mjini hapa Kahama toka kundi la Nyasubi Texas na kufanya kazi na studio za Action Records. Kuupakua wimbo huu bonyeza link hii >>>HaPa<<<

Saturday, May 23, 2015

UWANJA MKUBWA ZAIDI DUNIANI


Rungrado Stadium , Pyongyang, Korea Kaskazini huu ndiyo uwanja mkubwa michezo duniani. Hutumika kwa michezo mbali mbali ikiwemo kandanda.

Ndiyo uwanja mkubwa zaidi duniani ambao hautumiwi kwa mbio za magari.
Una uwezo wa kuchukua watazamaji wapatao 150, 000. Ndiyo hutumiwa na timu ya Taifa ya Korea ya Kaskazini....


Duru zisizokuwa za soka zinadai kwamba ni katika uwanja huu ambapo majenerali kadhaa waliuawa kwa kuchomwa moto wakiwa hai baada ya kuhusishwa na jaribio la mapinduzi la kutaka kumuua kiongozi wa nchi hiyo, Kim Jong-il

Credit to: Baraka Mbolembole

Thursday, May 21, 2015

Mgombea Urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Dunia Kajiondoa

Mgombea wa kiti cha Urais wa Fifa Michael van Praag amejiondoa kwenye kinyang'anyiro.
Kujiondoa kwa mwenyekiti huyo wa shirikisho la kandanda la Uholanzi sasa kumewaacha wagombea wawili pekee wanaowania kiti hicho na rais wa FIFA Sepp Blatter.
Van Praag, mwenye umri wa miaka 67, amesema atamuunga mkono Prince Ali Bin Al-Hussein wa Jordan katika uchaguzi huo utakaofanyika tarehe 29 Mei.

Mchezaji wa zamani wa kiungo kutoka Ureno Luis Figo, mwenye umri wa miaka 42,ni mgombea mwingine katika uchaguzi huo.
Blatter,mwenye umri wa miaka 79, anatarajiwa kushinda muhula wake wa tano akiongoza soka duniani. FIFA ina wanachama 209 na kila mmoja ana kura moja.
Vyama vingi vya soka vilionyesha nia ya kumuunga mkono Prince Ali.
Hata hivyo chama cha soka cha Uskochi awali kilikuwa kimesema kitamuunga mkono Van Praag.
Kujiuzulu kwake kumekuja baada ya mgombea mwingine,katibu mkuu wa zamani wa FIFA, mfaransa Jerome Champagne kujiondoa mwezi Februari.
"van Praag anasema kuwa atamuunga mkono Al -Hussein"
Uchaguzi huo utafanyika mjini Zurich katika mkutano mkuu wa kila mwaka wa FIFA.
Mshindi lazima apate theluthi mbili ya kura zote zilizopigwa katika awamu ya kwanza.

Credit to: bbcswahili

Thursday, September 25, 2014

Draw revealed for 4th round of Capital One Cup

The draw for the fourth round of the Capital One Cup took place Wednesday, pinning the remaining 16 clubs into eight fixtures.

Only nine Premier League teams remain in the competition following the elimination of Arsenal, Sunderland, Everton, Crystal Palace and Hull City in the third round, and at least two non-top flight clubs will progress to the quarterfinals as Milton Keynes Dons have drawn Sheffield United, while Fulham will meet Derby County.
Here's how the draw unfolded:
Tottenham vs. Brighton & Hove Albion
Stoke City vs. Southampton
AFC Bournemouth vs. West Bromwich Albion
Shrewsbury Town vs. Chelsea
Liverpool vs. Swansea City
Milton Keynes Dons vs. Sheffield United
Manchester City vs. Newcastle United
Fulham vs. Derby County

Sunday, June 1, 2014

Stars Yasonga mbele hatua za kufuzu AFCON



Na Mwandishi wetu
Ni baada ya kutoka sare ya mabao mawili kwa mawili dhidi ya Zimbabwe. Huku magoli ya stars yakifungwa na Nadir Haroub pamoja na Thomas Ulimwengu..

Baada ya ushindi huu itavaana na Msumbiji

Friday, April 11, 2014

TAARIFA YA MBEYA CITY JUU YA RUSHWA...


TAARIFA KWA UMMA
UPOTOSHAJI UNAOTOLEWA DHIDI YA TIMU YETU KUELEKEA MCHEZO WA TAREHE 13/4/2014
Kwanza nachukua nafasi hii kuwashukuru kwa dhati wapenzi wote wa mchezo wa mpira wa miguu na wapenzi wa Mbeya City Fc popote pale walipo kwa kuiunga mkono timu yao muda wote wa michezo ya ligi kuu inayoelekea ukingoni hivi sasa.Klabu inathamini nafasi ya wapenzi na washabiki katika kujenga timu imara na yenye ushindani kama walivyofanya kwa timu yetu.
Timu yetu ilianza ligi msimu huu 2013/2014 ikiwa na malengo ya kuchukua ubingwa au kuwa katika nafasi za juu za ligi yetu.Hiyo ndiyo dhamila iliyokuwepo kwa viongozi,wachezaji pamoja na benchi la ufundi.
Michezo miwili imesalia kwa timu yetu kabla ligi kuu ya Vodacom kumalizika katika msimu huu 2013/2014.katika safari yetu ya ligi kuu kwa mara ya kwanza msimu huu, changamoto nyingi za kiutawala na za kimtazamo kutoka kwa wadau wote wanaohusika na mchezo wa mpira wa miguu nchini tumezishuhudia .Changamoto hizo ni ikiwemo upangaji wa ratiba usiyokuwa na uwiano mzuri,baadhi ya mechi kuamuliwa vibaya na waamuzi wa mchezo,wizi wa mapato ya milangoni unaotokana na mfumo mbaya wa uuzaji wa tiketi,uadilifu mdogo kwa baadhi ya viongozi wenye dhamana ya kusimamia mpira katika ngazi zote n,k.
Kuelekea mchezo wetu wa tarehe 13/04/2014 dhidi ya AZAM FC kumezuka propaganda chafu na ambazo si sahihi katika ukuzaji wa mpira hasa wa ligi ndogo kama ya Tanzania. Nachukua nafasi hii kutoa ufafanuzi wa baadhi ya mambo ambayo yamekuwa sehemu ya propaganda hizo:
1.    Klabu imehaidiwa kununuliwa basi na hivyo inajiandaa kutoa ushindi kwa kwa timu ya AZAM Fc na kuwarahisishia mazingira ya Ubingwa.
Halmashauri ya jiji la Mbeya limekuwa katika mchakato wa kutafuta na kununua basi kwa ajili ya matumizi mbalimbali  ya Halmashauri ikiwemo kutumiwa na timu zake ( Netiboli na Mpira wa miguu)ambazo zote zipo ligi kuu ya michezo husika kwa kufuata sheria ya manunuzi ya Umma. Mchakato huo ulianza tarehe 8/8/2013 halmashauri ilipotangaza nia hiyo katika gazeti la “the guardian” la tarehe hiyo kwa tender no.LGA/069/2013-2014/MCC/G/01   hii ni baada ya Halmashauri kutenga bajeti ya fedha za makusanyo yake ya ndani  kwa mwaka wa fedha 2012/2013 na 2013/2014 ili kukidhi haja hiyo.
Tangazo hilo halikupata mzabuni mwenye sifa za kufanya usambazaji wa basi hilo hivyo tangazo hilo lilirudiwa tena tarehe 12/2/2014 katika gazeti la majira kwa Tender No.LGA/069/2013-2014/MCC/G/01 (Re-advitised), Mchakato na maandalizi ya ufunguaji  wa ufanyaji wa tathmini wa zabuni hiyo unaendelea kwa mujibu wa sheria ya manunuzi ya Umma.

Pamoja na mchakato huo hapo juu,pia klabu inaendelea na mazungumzo na wadau mbalimbali wenye nia ya kuwekeza kwa udhamini wa bidhaa zao,moja ya maeneo ya udhamini ni pamoja na ununuzi wa basi la wachezaji  taratibu na makubaliano haya yatakapo kamili umma wa wapenda mchezo wa mpira wa mguu utajulishwa.
Hivyo propaganda hiyo kuwa klabu imehongwa basi si za kweli na si sahii ila zina nia ya kuidhalilisha timu yetu.

2.    Propaganda kuwa Mwalimu Juma Mwambusi kanunuliwa nyumba Maeneo ya chamazi ili apange kikosi dhaifu siku ya mchezo tarehe 13/4/2014.
Mwalimu(Kocha) Juma Mwambusi ni muajiliwa wa Halmashauri ya jiji la Mbeya,kwa maana hiyo ni mtumishi wa Umma. Mwalimu Mwambusi amekuwa na timu yetu kwa muda mrefu sasa na ataendelea kuwepo.Kumekuwepo na maneno yasiyofaa dhidi ya mwalimu wetu toka mzunguko wa pili wa ligi kuanza,maneno haya yamekuwa na nia ya kuaribu muenendo wa timu ili ianze kufanya vibaya lakini zaidi ya hapa yana nia ya kumdhalilisha mwalimu wetu na taaluma ya ukocha nchini.
Mwalimu amefedheheshwa  sana na taarifa hizo.

3.    Propaganda kuwa wachezaji wote wa kikosi cha kwanza wamepewa hongo wacheze chini ya kiwango 13/4/2014.
Wachezaji ndiyo wachezaji wenye nidhamu kubwa katika ligi ya mwaka huu ndani na nje ya uwanja muda wote,ni waadirifu na wanajua wanataka nini.Mpira ndiyo ajira yao kama watumishi wa umma ndani ya Halmashauri ya jiji la Mbeya.Hawajawahi na wala hawatawahi kuchukua rushwa kwa lengo la kupanga matokeo.

Klabu yetu haisadiki katika upangaji wa matokeo ya mchezo wa mpira wa miguu kwani tunajua fika kuwa hakutaisadia kama klabu lakini pia kama taifa katika kuendeleza mpira wa miguu nchini.

Hitimisho,
Mchezo wa mpira wa miguu una matokeo matatu kushinda,kushindwa na kutoka sare. Klabu inaamini kuwa timu iliyojiandaa vizuri kama yetu inastahili kupata matokeo mazuri uwanjani.Falsafa mojawapo ya timu yetu ni kushinda mechi kwa kucheza mpira unaovutia na kuwaburudisha watazamaji.

Tuhuma mbalimbali za upangaji matokeo katika ligi yetu zimeanza kuota mizizi hasa ligi inapoingia mzunguko wa pili ,katika suala hili kama ambavyo linataka kuhusishwa nasi yawezekana propaganda hizi kwa upande wa timu inayotuhumiwa kuandaa michakato hiyo wana uzoefu nalo na yumkini ndiyo chachu ya mafanikio yao mpaka kufikia hatua hiyo waliofikia sasa.

Kama timu hiyo inauwezo wa kirasilimali wa kufanya uovu huo wote iweje ishindwe kuwa na timu imara na ya ushindaji mpaka itegemee kutafuta wachezaji wa timu pinzani kupata matokeo mazuri?
Timu yetu ndiyo timu pekee changa miongoni mwa timu tano zinazoongoza msimamo wa ligi yetu kwa sasa,si hivyo tu bali ndiyo timu pekee inayoundwa na wachezaji wengi wapya katika ulimwegu wa soka na inayoundwa na Watanzania watupu kuanzia wachezaji,benchi la ufundi pamoja na viongozi.Hii inathibisha kuwa kama taifa tunaweza kufanya kazi nzuri bila kutegemea wachezaji toka nje baadhi yao wasiokuwa na tija.

Mpira ni ajira hatuna budi kuuratibu vema ili kutoa nafasi inayostahili kwa vijana wetu ili kupunguza tatizola ajira nchini lakini pia kutumia vipaji vyao kulipa taifa muonekano stahili.

Mamlaka zinazohusika hazina budi kuanza kufuatilia na kuchukua hatua kali kwa baadhi ya timu zinzohusishwa na upangaji wa matokeo ili kulinda heshima ya mchezo huo bila kuogopa uwezo wa rasilimali wa timu hizo.
E.E.Kimbe
KATIBU MKUU
MCC FC
9.04.2014

CREDIT: SD BLOG

Monday, December 31, 2012

Happy New Year 2013!!

Tunakushukuruni wafuatiliaji wa blogu hii ya wamtaanitz.com kwa taarifa mbalimbali juu ya jamii yetu ya kitanzania.

Shukrani wote na heri ya Mwaka Mpya 2013!

Thursday, September 13, 2012

Azam hold up launch of premier league kit



Mainland premier soccer league club Azam has delayed launch of their new outfit to replace the current one which was in use for the entire previous season.

The club’s team manager Patrick Kahemele said plans are underway to replace the last season’s outfit bearing ‘Azam-Cola’ emblem.

The new outfit will be branded with the new beverage ‘Azam Energy’ which is yet to hit the market for undisclosed reasons.

Kahemele said the new outfit will instantly be in use once the new product is introduced to the market but would not disclose the timings.

The Mainland premiership season kick off on Saturday as Azam face Kagera Sugar at the Kaitaba Stadium in Bukoba.

 Earlier, the club had planned to introduce their new outfit during the Community Shield match against eventual winners Simba at the National Stadium in Dar es Salaam on Tuesday.

The club also intends to use the new branded outfit in the Africa Confederation Cup league that kicks off early next year.

 Appearing for the fifth season since winning promotion into the top flight berth, Azam have set sights on winning their maiden league title at the end of the season after coming close last season.

Azam remained on low profile during transfer window as they lost striking duo of Mrisho Ngasa and Ramadhan Chombo who crossed over to Simba.

However, they replaced British coach John Stewart Hall for Serbian Boris Bunjak.

The Serbian had the feeling of the premiership flavour when his side lost to Simba by 3-2 goals on Tuesday having thrown overboard a sublime 2-0 goal cushion lead.


SOURCE: THE GUARDIAN 

Monday, August 13, 2012

Tevez can spark City glory – Mancini


holding

Birmingham, United Kingdom – Manchester City manager Roberto Mancini has backed Carlos Tevez to play a starring role for the Premier League champions after his stunning strike inspired a 3-2 win over Chelsea in the Community Shield.
Tevez was in vibrant form at Villa Park on Sunday as the Argentine forward provided a glimpse of the talent that City missed for much of last season during a self-imposed exile that followed his touchline row with Mancini at Bayern Munich.
The former Manchester United star returned late in the season to help City clinch their first English title for 44 years, but Mancini believes Tevez will be much fitter and more motivated this season.
He put City ahead with a blistering second half shot after Yaya Toure had cancelled out Fernando Torres's first half opener for Chelsea.
Samir Nasri bagged City's third and Ryan Bertrand's late consolation couldn't stop Mancini's men warming up for their title defence with their first Community Shield win since 1972.
But it was the form of Tevez that most pleased Mancini ahead of next weekend's Premier League opener against Southampton.
“I'm very happy,” said Mancini. “Carlos worked very well. His form is better than last year. He wants to play football.
“With foreign players it's difficult. He didn't play last year for six months. If he wants to play, he's going to be top.
“Having Carlos for the last 10 games (of last season) was important. But he is now 100 per cent. This is the first time in four years we have him fit.”
Mancini also confirmed that England midfielder Jack Rodwell will complete a move from Everton after undergoing a medical, and then suggested he expects the club to add to their first summer signing.
“Jack is having a medical at the moment,” he said. “He's young, it will be different for him but he will be a strong midfielder in a couple of years.
“He's a player that needs to improve but he's young. We are interested in all good players.
“We will see if we have new signings. We are looking for other players. I'm waiting to see.
“Every manager is unhappy if one week before the season we had not got any players, but I hope we're working and this week or 10 days we should have more players in.”
Meanwhile, Chelsea manager Roberto Di Matteo conceded Branislav Ivanovic's red card two minutes after Torres had given his side a 40th minute lead was the turning point.
“The sending off probably changed the game,” he said. “We competed very well up to that point. The second half was difficult. It's difficult playing with 10 men.
“I watched the sending off, I felt there was no intention from our player. Sometimes red cards are given and sometimes they are not (in that situation).
“It was a competitive game and the nature of that was that people were trying to win the game. Both sides were very determined.”
Mancini played down his side's chances of retaining the Premier League title last week, but Di Matteo believes they deserve to be favourites following this game.
“City are the team to beat absolutely, they are the champions,” he said.
“We have to catch up 25 points from last season. They are the favourites, it's no doubt about it. United are chasing City as well.”
Di Matteo also praised the performances of Torres and new signing Eden Hazard and he believes they will be pivotal players if Chelsea are to cope with the loss of Didier Drogba, who moved to China after playing major roles in the club's Champions League and FA Cup final victories.
“Hazard was lively, he handed out some problems,” he added. “He was finding his feet with Ashley Cole and his other team-mates.
“Torres moved very well today, he was a danger and worked hard for the team. It was his first 90 minutes after being back in training for less than three weeks.” – Sapa-AFP

Friday, August 10, 2012

Olympic London 2012 'Nilianguka mwanzoni Kwa sababu..' Philip Hindes



Great Britain's gold medal hero Philip Hindes has courted controversy by admitting he deliberately crashed in the first round of the team sprint.
Hindes, along with Sir Chris Hoy and Jason Kenny, triumphed in the competition at the velodrome on Thursday night as they defeated France with a world record time of 42.600.
However, in the first round, Hindes's front wheel skidded and he deliberately brought his bike to ground in order to allow Britain to restart.
Cycling rules state that in the case of an early crash, a team can restart their race, and it is believed that no action can or will be taken by the governing bodies.
However, the admission from Hindes is sure to attract scrutiny, especially given the controversy surrounding the explusion of four badminton teams for attempting to lose matches  in the early stages of their competition.
"So I crashed, I did it on purpose just to get the restart, just to have the fastest ride. It was all planned really," Hindes told the BBC.
"When that (wheel skid) happens you can lose so much time. My only chance was to crash and get the restart.
"I think they knew I'd done it on purpose. We were speaking yesterday, that if anything happens someone has to crash. So I did it."
Britain's women were disqualified from their team sprint earlier in the evening when Victoria Pendleton overtook Jess Varnish outside the stipulated area on the final lap.

Tuesday, August 7, 2012

Olympic London - Coe connection in Kiprop title defence

 
 :image/jpeg;base64,/9j/4AAQSkZJRgABAQAAAQABAAD/2wBDAAkGBwgHBgkIBwgKCgkLDRYPDQwMDRsUFRAWIB0iIiAdHx8kKDQsJCYxJx8fLT0tMTU3Ojo6Iys/RD84QzQ5Ojf/2wBDAQoKCg0MDRoPDxo3JR8lNzc3Nzc3Nzc3Nzc3Nzc3Nzc3Nzc3Nzc3Nzc3Nzc3Nzc3Nzc3Nzc3Nzc3Nzc3Nzc3Nzf/wAARCABaAGkDASIAAhEBAxEB/8QAGwAAAgMBAQEAAAAAAAAAAAAABAUCAwYBAAf/xABCEAACAQIEAwUFBAcFCQAAAAABAgMEEQAFEiEGMUETFCJRcWGBkaHRFTJSkgcjM0Jik7FTgqLB8BYkVFVylLLS4f/EABkBAAMBAQEAAAAAAAAAAAAAAAECAwQABf/EACIRAAICAgIDAQEBAQAAAAAAAAABAhEDIRIxBCJBUXEyYf/aAAwDAQACEQMRAD8A4k8yx2bNIt72s4xTHVVN3V66FU2MbmW2odf6YfHhvJ5WMYSS/wCHWcebhfKLPLIZQFspJc2GwA/oMSUWF2hXFVSRQxmWviZg27K4O2PVT1tTIkdBWIXYjw9oLm/S2FXHdHQZbBl60cwZXnKyxHdiCPvX8rrb34WwZ5pLLIBPSU6AqIwFMR302YCw3sLew8zyDSXYVbVo11NJUobT1UasOYMgAHnhBnmaSUucpJUVEvd4dLRdl4rsbj64aZTmGXcQRzVVeDRMqjtGMgsw28W3I35jzGEHHi5XT01LJlVTJPMJNLWPh02PW25vbDx9baFceVJmnyTMKXNX+0Y7NMsfZajt1/rhq/fCbiaMBfMrvjN8BQZfU0y0rVdQlbo7SZDp03J2Cjmdj8jj3H1M2Wy5fURTzSUx1hgj6WD7EbD2Y6W6dHRTTaH69+KlzNGUBtqDLa/lgeU15V2SeJVGwbWpscc4aSjrskeskqRErowqI5LeDST4j5cr38sQggyWtqo6alqjLquFZACARvY9RexwvBh5HoBmNlMtVGbHmHTfHQK0EaqtDYna6HBVfk9FRQrLOzuPugCwwo7xlSM2hGUA7nXz+WFpoNolmkFfPFKtNUU6llsu6Ag+uE3+ynFP41/mLhoBk6gnVIoI6yD6Yt77Rf8AFy/zjhouhJKwvhnMKmqzaujmMhlWRxHCyaVWMNYENbe/lj3FGbTJw/nSwo0FTFJFDcnY6tJOkj+En4YYR1lEWvFORJ0IBwg/SVI9dw7H3KJpXiqleoG40Aqyhjaxtdhio3GcXtMxAzKk0RU88TGWRR+tedms23iCk2sbEbD+mCMteDLFlgddQl3MitoQ25htt9r7EYfcP0kQymMaUdZJPH4wNySNwbjZQttvLphXn9BTCGWR4JUpmBBUIAUN7DTsBy6dRf1wzwuk1sCn2mqFca00tQaYGeKjEjGNAQzvYE8+W2w5XtjX8GxZZX5XNLmFBHKUnICtvyUW5+tvdhJQUUdXFHSxyJG91eOUuFNy1vEOduuIcJZpJS1E9AHIClmUBQ1+hG+/OzCxBuD6YyeRh54/V0ysJScuNfwsrxFRcZF6GLu0c3Zun4FcbaR8L+/Fmf5x37JpcspEYqtYzlpSpkDtITsfIXt6dbYr4jQ1UDzSidZYxaA7MZJNQ023uBzFh54UUYSorJ2lWWJguuawswcWUgC2xuTz9NsN48W4JJ3S2w5k4OpKhtT1z0D07UarG89OkMuqP9ppJBOkkbnrfY2xdw9Umiztq2khiLabOqppjViouBv4eRtc9dsC1GTTHLpMwgmkkkSVAzIQVRSG95Oy78t7e3DF6NYclhGbQEQVCMWmQFZIyGQIedjfU5sQfujDK+W+uwSj6a7NxJU/a2VUlSgeAyAsyE2KncEH34C7g5P7Zj7x9MU8OtDFk0McFSJYw7spvuAW5G+98HtUqBuRf/qGElN3olSXYJJQSX2kP5h9MV9wl/H/AIh9MFmtUfvL+cYh33+P/GuF5sHqUx5BNEdaV5U8heMG+LMwNRlmQZtI8hqpJafQvg5E7Dz88NS9zfHJIo6mF4Z41kjcWZWFwRinJmxty/0fHGzoxN2SSyQxixCkbXP+ueINUQGMWlj0k3IB54YZdlsMGY5xl+YASypMyIzqCSvMH3jfbGbzCjWizKSj1nSrqNZBJCmxBtzOx+WPQj5v7FNr6efLDNR4KbUX8H9HXRyZjTGzyTxSDQqqPF57nl0O/UnAdUarLs5Wvq6V4b1BlCqNgCSSAT7CRgzh/KftLMoqd5gNbaP2YPLmbH0vh1xaqfZc5mUJNCVW34W1Bfhv8MY8klNNfH2VjCS2X5RnFJxHmtJRRq9EiSrMJGVWdih1BRzUbgb74yucZrFVZ1XS04laOaqZklLrdgW5mwtY89umGPBeTrmOb07TTRN2DibQhIuFIN78xv0I9++PZrw5TrxtPRQxslMf10VNEQNVwCFBPIavgL8ukvGePx4uGPplMmOWRpy7RouDc2NFlMkWlNPaue0cHx2tbl625YP4iqabMMsrIP1asH0O0TEtrsAdiOhYfI4xcGfwZAGonpapnvqYGRR2V9wNPI7G+/n16F0nFUFc5gSWpMxJeKOpiiVJG5hdQNwTYAE40xfqonSjB3Plv82MuC3JzBspnQp2iGaBpU3YeYuNwQLg8tjjYyZNfmU/IPpjLStXCr4UnrIhFVQa4JFW1uluXmFv78aySvl62G/ljE3Bas6UoPbB2yRDzKflH0xz7Di/g/KPpib1k1rh9/YBivvdT+Nvgv0wOUP+k+WP8DBgiCMsdzYAXJ8hgeMEkAczgskKojXp94+ZxU1tnyvjFpI+Lszq44hCsUMdj+MkKFJ+f5cJKmZ6ipikmsZOzBOn2Xxr+PqIyz1M0Url5DTwtDp2+8dLX8vvD1Bwn4Xy6R+Isr7UKVd5WPpGzA/NRhZJnR/RzwDR9pxDXykALSSzKB5EuQPkDgSWI5rmnF9bK7CKkp5gsR5awCoPu0E+/Df9G8DvLnWZP4Uqqqyi3OzMx/8AO3uOKMvp75FxtM50M89SoIHMKpb/ADw306KpAf6LadmrK+sKnRGgiU+0m5+QHxw3zOill48oqtY2aJaS91IBupO+9r2LAkc7Y7+jUKnDN9gWncn28hh9OkJrqeeRAzxK4RiT4bix5Ym3xRzej5PxHQ1GZ5lVZjThBHJpKxsbMqhQLbbcwfjhTkdN32tj7QvDGnjVlgd9bAiy7A2uevTGqSCaWrjoJUkjeaVVKsCpCk7n2bYMqFFLxJVwwgKneF06RYC4Un5nFFkf0k8MXtDnNUjhr8kpkRgxld216rkEHTb3ta2GTXI5/wDzBtfl9PmtXTVk6/7zRklgvI3/AHvS9jtbceWB6+GZn1xxnVyZhex8j1+ZxHLH6iWSGrQMfDfcjHtT+bfDFEryRllaRdSmxHtxX258x8RjPZn0ahbQpf8AfYbewY4pGK3LO5Y2uccBfpb4422ekkI+LkFbUZdRU8gSqNQkgYpe4U3Ck9Nxf+7gSaSnpeNIKikTu9N9mmJKaYdnolLPcAcrEpfV1vhwcqhbNRmTKTUAWHjOkG1r287bYhX5LFX5jSVsrur0/wC6Ds/UX9DvhbkkyqjC1/Bpk+UNkeXU2Xm8rquosqW7RmNyQPU4U5ll8GU8N8QmmWRe3inmZJDfQxjsbX6bX9ScOIDJEwZJJAwNwSxNvjhfxVSvm2Tz0ctU8JqCqtKo8iCbjyIFvfiiaeiNSRRwfTx03DGXLsC8IlP97xf54aXiDXBW4x6CMQU8UKElI0VFJ6gC2Ok/wnCD9mO4prHh45oK2pMQilRNfZrZQQSpIuTbYrffEKrL6p+MD+ol7vLMsqzBDosoXUL8rgi1sH8cZacxykyRxMZqW8igfvLbxL8N/dg3I5JJaNap6qedKhVdUktaI23C26X88DQVFJUhsxYMssRAkTdSeR8wfYcWSxRTxpMotEzEEFQxRhzU6gR9RgZXGLEqO7FnKF4JBaZF526MPaMMic4gec06VDBpWjiktaOR3Re09lh/rphJ3WTyf4Y1bkoF0sHjYXQ7EMD1GxtgK7f8vh/7hP8A0xGeHk7TM88KbsIu2Il39mJ9MeOKmsrMkvS2OLLLfxWPoMTxwY4JLtyBupPpjq1TiRCkQYhhs3I+uPdMSiA7VfUY5OmCSTVM7NOO2e6kbnFZmTqbeuLan9u/rgcjbAsKWi+majll01NVHCnUspOr2bDC6gWkgpFio4zDErMFjLXCi9hb2Hn78XMB5YjYWGDeqDw9rsnqGJBxyxR1x7rgBYRTzx07d3nOmkckq/8AYuevoeuGH2VUf2tN/NGE8gvGwO4I5HCS588MiMrT0f/Z
Asbel Kiprop

NAIROBI, Kenya, August 7- With Lord Sebastian Coe most likely watching from the executive sitting at London Olympics Stadium, Asbel Kiprop has the chance to join him in the VIP table of 1500m running if he holds on to his Olympics title on Tuesday night.

Monday, August 6, 2012

Waziri Mkuchika aongezwa udhamini Yanga

 https://encrypted-tbn3.google.com/images?q=tbn:ANd9GcTN5zoH_xH7l3ZwpniGCKR3Na9i-DN0G4FBKoYlgPrYQ6SjaGIh
Mheshimiwa George Mkuchika.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora), George Mkuchika ni miongoni mwa majina ya wanachama watatu walioteuliwa na uongozi mpya wa Yanga kuwa wajumbe wa Bodi ya Udhamini ya klabu hiyo ya ‘Jangwani’.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu wa Yanga, Selestine Mwesigwa, aliwataja wajumbe wengine wapya wa bodi yao ya udhamini kuwa ni Seif Ahmed 'Magari' na Balozi Army Mpungwe.


Awali, viongozi wapya wa klabu hiyo waliochaguliwa Julai 15 katika uchaguzi wao mdogo waliapishwa na mke wa Rais wa awamu ya kwanza wa Zanzibar, Mama Karume. Walioapishwa ni pamoja na Makamu Mwenyekiti, Clement Sanga na wajumbe wa kamati ya utendaji ya klabu hiyo, Aaron Nyanda, Mussa Katabaro na George Manyama.


Akizungumza na waandishi wa habari jana, Katibu Mkuu wa Yanga, Selestine Mwesigwa, alisema vilevile kuwa uongozi mpya wa klabu hiyo umezifuta kamati zao zote za uongozi klabuni hapo.


Mwesigwa alisema kuwa uongozi pia umekubaliana kuifanyia marekebisho katiba ya klabu hiyo ili iendane na wakati uliopo.


Alisema kuwa uongozi huo umekubaliana pia kupunguza matumizi yasiyokuwa ya lazima kwa kufanya shughuli mbalimbali za utendaji kwa kufuata maelekezo yaliyoko kwenye katiba yao.


Hata hivyo, jana kabla ya viongozi hao hawajaapishwa, wanachama mbalimbali waliokuwepo klabuni hapo walitaka wajumbe Sarah Ramadhan, Mohamed Bhinda na Salum Rupia wasiingie kwenye jengo hilo, wakiwatuhumu kwamba si waaminifu.


Wanachama hao walisema kwamba wakati wa harakati za kuutaka uongozi wa Mwenyekiti, Lloyd Nchunga ujiuzulu, wajumbe hao walionekana kutokuwa na msimamo.


Wanachama hao wameupa uongozi wiki moja kuhakikisha wanawaondoa wanachama hao kwenye madaraka ili wasiwachanganye kwa sababu wanaamini hawaitakii mema klabu yao.


Endapo viongozi hao wataondolewa, itabidi Yanga ifanye tena uchaguzi mdogo au isiburi hadi mwaka 2014 itakapofanya uchaguzi mkuu.

 
CHANZO: NIPASHE

Friday, August 3, 2012

apologetic remarks from MG16 for what he did


Mrisho Ngassa, MG 16

Mrisho Ngasa yesterday made apologetic remarks over his dramatic transfer and has joined the Mainland champions for the next premiership season.

Ngasa, whose outbursts and provocative gesture to kiss Young Africans jersey while serving for Azam during the Kagame Cup frustrated the ice-cream makers, is now a Simba player on loan.

He said Azam management should exempt him from all wrongdoings he committed to frustrate the ice-cream makers into putting him on transfer market early this week.

The former Young Africans striker, who played for four seasons before his historic transfer to Azam, now has to feature for Simba after signing a loaned transfer deal on Wednesday afternoon.

Azam and Simba had in the past signed transfer deals as players criss-crossed between the two top flight sides.

The last deal was a swap transfer when the late Patrick Mafisango joined Simba in exchange for Abdulhalim Humood.

Other Simba players who crossed over to Azam include Ramadhan Chombo and Jabir Aziz.

Thursday, August 2, 2012

Wachezaji 21 Wateuliwa Kikosi Cha TAIFA STARS


Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen leo (Agosti 1 mwaka huu) ametangaza kikosi cha wachezaji 21 kwa ajili ya mechi ya kirafiki itakayochezwa ugenini Agosti 15 mwaka huu.
Wachezaji walioitwa Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager wanatakiwa kuripoti kambi kwenye hoteli ya Tansoma, Dar es Salaam, Agosti 8 mwaka huu saa 1 jioni tayari kwa mazoezi yatakayoanza siku inayofuata.
Makipa walioitwa kwenye kikosi hicho ni Deogratias Munishi (Azam), nahodha Juma Kaseja (Simba) na Mwadini Ali (Azam). Mabeki ni nahodha msaidizi Aggrey Morris (Azam), Erasto Nyoni (Azam), Kelvin Yondani (Yanga) na Shomari Kapombe (Simba).
Viungo ni Athuman Idd (Yanga), Frank Domayo (Yanga), Haruna Moshi (Simba), Mrisho Ngassa (Azam), Mwinyi Kazimoto (Simba), Ramadhan Chombo (Azam), Ramadhan Singano (Simba), Salum Abubakar (Azam) na Shabani Nditi (Mtibwa Sugar).
Wachezaji wanaounda safu ya ushambuliaji ni John Bocco (Azam), Mbwana Samata (TP Mazembe, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo- DRC), Said Bahanuzi (Yanga), Simon Msuva (Yanga) na Thomas Ulimwengu (TP Mazembe, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo- DRC).
Boniface Wambura
Ofisa Habari
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)

Sunday, July 29, 2012

MAFANIKIO YA AZAM FC NDANI YA CECAFA

 http://azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/slides/DSC_4852.jpg
hapa ni sure boy na JB19

http://azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/slides/moradi.jpg 
wachezaji wa azam fc

mambo ya kipre hayo

Timu ya mpira wa miguu ya Azam FC imejipatia mafanikio makubwa msimu katika kikombe cha CECAFA Kagame Cup baada ya kuingia kwa mara ya kwanza na kutinga fainali ambapo ilitoka mshindi wa pili baada ya kupoteza mchezo huyo dhidi ya Yanga SC ambayo ni timu kongwe nchini Tanzania na pia ilikuwa ni bingwa mtetezi wa kombe hilo.
Timu ya Azam FC imepata mafanikio hayo makubwa kwenye hicho kikombe ambacho kinashindanisha timu za vilabu vya Afrika Mashariki na Kati, kwani ni timu changa ambayo inamiaka chini ya mitano toka ianzishwe.

Wednesday, July 25, 2012

John Bocco Hatrick


John Bocco

A John Bocco hatrick inspired Azam to a 3-1 hammering of last year's Cecafa Kagame Cup finalists Simba in a highly entertaining game played at the National Stadium in Dar es Salaam on Tuesday.

Bocco broke the deadlock with a fine header from an Ibrahim Shikanda sublime cross in the 18th minute.

Azam continued their forages upfront with keeper Juma Kasseja being put to task to save blistering shots from the marauding Azam strikers.

On second half resumption Bocco curled in his brace in the 46th minute after a defensive lapse by Simba as the scores stood at 2-0 in favour of Azam.

Somari Kapombe pulled a goal for Simba in the 53rd minute with a screamer that beat Azam keeper Deogratius Munishi all the way.

It was Bocco’s deay however and he sealed the win for Azam with another fine finish in the 75th minute after receiving a beautiful pass from substitute Jabir Aziz to crown his day with a fantastic hatrick.

Monday, July 23, 2012

Cirkovic afurahi kukutana na Azam FC



Kocha wa Simba, Milovan Cirkovic



kikosi cha Azam FC 


Toka mashindano ya Urafi Cup sasa Tusker Cup na Ligi Kuu Zitakutana mara kibao tu, mpaka zishakutana hii mara ya tatu.

Ratiba mpya Ligi Kuu Bara mwezi ujayo




Shirikisho la Soka Nchini (TFF) limesema kuwa litatoa ratiba kamili ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu ujao wa mwaka 2012/ 2013 Agosti Mosi mwaka huu.

Ligi hiyo itakayoshirikisha timu 14 kutoka mikoa mbalimbali nchini, itaanza Septemba Mosi mwaka huu.

Kabla ya ligi hiyo kuanza, kutakuwa na mchezo wa ufunguzi wa ligi hiyo wa Ngao ya Jamii utakaofanyika Agosti 25 kati ya mabingwa wa ligi hiyo, Simba dhidi ya mshindi wa pili, Azam.

Akizungumza na gazeti hili jana, Mkurugenzi wa Mashindano wa TFF, Saad Kawemba, alisema ratiba hiyo iko katika hatua za mwisho za kuihakiki na imezingatia majukumu ya timu ya taifa (Taifa Stars) na mashindano ya Klabu Bingwa Afrika na Kombe la Shirikisho.

Kawemba alisema pia ratiba hiyo itazingatia jiografia ya nchi yetu na TFF inazitakia klabu zote zitakazoshiriki ligi hiyo maandalizi safi ili ligi iwe na ushindani.

Timu zitakazoshiriki ligi hiyo inayotoa wawakilishi wa Bara katika mashindano ya kimataifa ni pamoja na mabingwa Simba, Azam, Yanga, Coastal Union, Mtibwa Sugar, Kagera Sugar, JKT Ruvu, JKT Oljoro, Mgambo JKT, Polisi Morogoro, Toto African, Prisons, African Lyon na Ruvu Shooting.

Simba ndio wawakilishi wa mashindano ya Klabu Bingwa Afrika mwakani wakati Azam kwa mara ya kwanza itapeperusha bendera ya nchi kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho.

Hata hivyo, mdhamini mkuu wa ligi bado hajatangazwa kutokana na TFF bado kuwa kwenye mazungumzo na kampuni ya huduma za simu ya Vodacom.

Friday, July 20, 2012

Je itawezekana kweli? URA FC keen to finish top.


ura players 
URA FC players.
Uganda's representatives URA FC entertain Djibouti's Ports FC in their last group A game with a target of finishing top of the group. The tax men have so far recorded wins against last year's finalists Simba's SC (0-2) of Tanzania and DR. Congo's AS Vita (3-1) in their two opening games and sit on top of group A with six points. A win for the Ugandan side today will ensure that the club keeps a perfect record in the tournament with 3 wins out of 3 games.
Coach Alex Isabirye will miss the services of suspended defender Derrick Walulya and is expected to call on either Musa Doka or experienced Sam Mubiru to deputise in central defence and partner Sam Ssenkomi. The tax collectors will also be without injured Yayo Lutimba and Owen Kasule while anchor man Oscar Agaba is doubtfull for the tie. Augustine Nsumba, Said Kyeyune and Osama Farouk are set to replace the trio in midfield.
Erukana Nkugwa who is yet to make his debut for the club is also set to make an appearance in the game. Custodian Yasin Mugabi who has been superb so far is expected to maintain his spot in goal with Simeon Masaba and Allan Munaba playing in full back positions. Robert Ssentongo, Moses Feni Ali and Erisha Ssekisambu are expected to complete the front three in search for goals.