Showing posts with label Picha. Show all posts
Showing posts with label Picha. Show all posts

Saturday, May 23, 2015

UWANJA MKUBWA ZAIDI DUNIANI


Rungrado Stadium , Pyongyang, Korea Kaskazini huu ndiyo uwanja mkubwa michezo duniani. Hutumika kwa michezo mbali mbali ikiwemo kandanda.

Ndiyo uwanja mkubwa zaidi duniani ambao hautumiwi kwa mbio za magari.
Una uwezo wa kuchukua watazamaji wapatao 150, 000. Ndiyo hutumiwa na timu ya Taifa ya Korea ya Kaskazini....


Duru zisizokuwa za soka zinadai kwamba ni katika uwanja huu ambapo majenerali kadhaa waliuawa kwa kuchomwa moto wakiwa hai baada ya kuhusishwa na jaribio la mapinduzi la kutaka kumuua kiongozi wa nchi hiyo, Kim Jong-il

Credit to: Baraka Mbolembole

Sunday, April 19, 2015

Chilling waiting my Bae calls.

 

Wednesday, November 5, 2014

Amazing Picture in the World