Sunday, July 29, 2012

Ripoti Maalumu : Kigogo wa Polisi adaiwa kinara wa dawa za kulevya


Kamanda Kova akiongea na waandishi wa habari.

MAPAMBANO ya kudhibiti dawa za kulevya nchini yanaelekea kugonga mwamba, baada ya baadhi ya vigogo wa Jeshi la Polisi kudaiwa kuingia kwenye mtandao wa biashara hiyo haramu.
Vigogo hao wanadaiwa kushirikiana na askari wadogo, wakiwatumia kama wasambazaji wakuu wa bidhaa hiyo.
Askari hao wanadaiwa kutumika kusambaza dawa hizo katika mikoa ya Kanda ya Ziwa ya Mwanza, Kagera, Shinyanga na Mara kwa kutumia pikipiki zao, huku vigogo hao wakiwalinda wasikamatwe.
Uchunguzi wa muda mrefu wa Mwananchi Jumapili, umebaini kuwa mtandao huo unamhusisha pia kigogo mmoja wa Makao Makuu ya Jeshi Polisi.
Kigogo huyo anadaiwa kumtumia mkuu wa kituo kimoja cha polisi mjini Mwanza, ambaye amepandishwa cheo kwa haraka kipindi kifupi, kupokea fedha kutoka kwa wasambazaji hao.


Habari zaidi Gonga Hapa>>>

MAFANIKIO YA AZAM FC NDANI YA CECAFA

 http://azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/slides/DSC_4852.jpg
hapa ni sure boy na JB19

http://azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/slides/moradi.jpg 
wachezaji wa azam fc

mambo ya kipre hayo

Timu ya mpira wa miguu ya Azam FC imejipatia mafanikio makubwa msimu katika kikombe cha CECAFA Kagame Cup baada ya kuingia kwa mara ya kwanza na kutinga fainali ambapo ilitoka mshindi wa pili baada ya kupoteza mchezo huyo dhidi ya Yanga SC ambayo ni timu kongwe nchini Tanzania na pia ilikuwa ni bingwa mtetezi wa kombe hilo.
Timu ya Azam FC imepata mafanikio hayo makubwa kwenye hicho kikombe ambacho kinashindanisha timu za vilabu vya Afrika Mashariki na Kati, kwani ni timu changa ambayo inamiaka chini ya mitano toka ianzishwe.

Walimu Wapewa Elimu juu ya Mikopo

Intanet cafe @ karagwe
  


WALIMU wilayani Karagwe, Kagera wametakiwa kujenga utamaduni wa kuchukua mikopo inayoendana na uwezo wao kiuchumi na mishahara yao.
Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Katibu wa Chama cha Walimu (CWT) wilayani hapa Velenan Vedasto, alipozungumza na waandishi wa habari juu ya changamoto mbalimbali za kiuchumi zinazowakabili walimu.
Vedasto alisema walimu wanapaswa kuchukua mikopo inayoendana na uwezo wao wa mishahara, ili iweze kuleta tija katika familia zao.
Alisema utafiti uliofanywa na ofisi yake hivi karibuni ulibaini walimu 23 hawana mishahara kabisa na wengine 65 wanapokea mishahara chini ya sh 50,000 kwa mwezi.
“ Kwa kweli hii ni hatari kwa familia za walimu, mwisho wa mwezi hana mshahara…mwalimu wa aina hii hata akaingia darasani kufundisha hata mwanafunzi anamuelewa?” alihoji Vedasto.
Alisema baadhi ya walimu wamekuwa wanakopa mikopo mikubwa katika taasisi za fedha ambayo haiendani na vitega uchumi vyao, matokeo yake kushindwa kurejesha mikopo kwa wakati na wakati mwingine kuziathiri familia zao.

Wednesday, July 25, 2012

John Bocco Hatrick


John Bocco

A John Bocco hatrick inspired Azam to a 3-1 hammering of last year's Cecafa Kagame Cup finalists Simba in a highly entertaining game played at the National Stadium in Dar es Salaam on Tuesday.

Bocco broke the deadlock with a fine header from an Ibrahim Shikanda sublime cross in the 18th minute.

Azam continued their forages upfront with keeper Juma Kasseja being put to task to save blistering shots from the marauding Azam strikers.

On second half resumption Bocco curled in his brace in the 46th minute after a defensive lapse by Simba as the scores stood at 2-0 in favour of Azam.

Somari Kapombe pulled a goal for Simba in the 53rd minute with a screamer that beat Azam keeper Deogratius Munishi all the way.

It was Bocco’s deay however and he sealed the win for Azam with another fine finish in the 75th minute after receiving a beautiful pass from substitute Jabir Aziz to crown his day with a fantastic hatrick.

Rajabu Maranda and Hussein lose their second case


Maranda Rajabu on Right hand.

The Kisutu Resident Magistrate’s Court yesterday delivered the second judgment on one of the high profile External Payment Arrears (EPA) cases, sentencing Rajabu Maranda and Farijala Hussein to jail terms totalling 18 years respectively.

However, each will serve only three years in jail because the sentences run concurrently. The sentence comes less than a year after the two were each jailed for five years for conspiracy to defraud, forgery, uttering false document and submit forged documents and obtaining 2,266,049,041.25.

The Panel of judges Fatuma Masengi, Projestus Kahyoza and Katalina Revocat hearing the case applied the judgment prepared by magistrates Kahyoza and Revocat which found the accused guilty on six of the seven counts they were charged with.

Reading the judgment on behalf of his colleagues, Magistrate Kahyoza said that evidence and testimony presented in court proved six counts against the accused without any reasonable doubt, except one count of stealing, which was dismissed.

Chama Cha Mapinduzi (CCM) treasurer in Kigoma Region, Maranda and his cousin, Hussein, were charged with seven counts relating to stealing over 2,266,049,041/65 from the EPA account.

He said the accused were found guilty in six counts including the offence of obtaining credit by false pretences from the EPA account of the Bank of Tanzania (BOT) by using a fake company registered as Money Planners & Consultants Company.

According to the charge sheet, Maranda and Hussein are charged with forging a deed of assignment showing that Graciel Company had assigned a debt of 2,266,049,041/65 to Money Planners Consultancy Company while knowing the said to be false
It was alleged that the accused opened an account at Commercial Bank of Africa no. 0101379004 and on November 27 2005 the money was cashed into the account by BoT.

After the two were declared guilty, the prosecution, led by state attorney Arafa Msafiri, asked the court to give the two severe punishments, taking into consideration the huge loss that the government has suffered from their crime.

She also asked the court to use its authority under Section 348 and 358 (1) of the Criminal Procedure Act (CPA) to order the accused to pay a compensation or to return the obtained money which they are found guilty to have obtained.

In their mitigation, the accused, through their counsel Majura Magafu, asked the court to be considerate to his clients, considering that Section 38(1) of the penal code gives authority to the court either to give absolute discharge or conditional discharge.

Tuesday, July 24, 2012

Dk. Ulimboka kurudi nchini hivi karibuni


Dr Ulimboka mwenye mic.

Afya ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari, Dk. Stephen Ulimboka, aliyepelekwa Afrika Kusini kwa matibabu imeendelea kuimarika na kwa mujibu wa familia yake anatarajiwa kurejea nchini mwishoni mwa mwezi huu.




Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mmoja wa familia yake aliliambia NIPASHE jana kuwa, Dk. Ulimboka anatarajia kurudi nchini muda wowote kuanzia sasa kutokana na hali yake kuendelea kuwa nzuri.



Wiki iliyopita Dk.Ulimboka alianza kufanya mazoezi mepesi mepesi huko Afrika Kusini anakotibiwa.



Dk.Ulimboka, aliyetekwa Juni 26, mwaka huu, alipigwa na kuumizwa mwili mzima, aling’olewa meno pamoja na kucha na watu wasiojulikana na baadaye mwili wake kuokotwa na msamaRlia mwema maeneo ya Mabwepande nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam.



Baada ya kitendo hicho, Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), kiliamua kumpeleka Dk. Ulimboka Afrika Kusini kwa matibabu.



Monday, July 23, 2012

Cirkovic afurahi kukutana na Azam FC



Kocha wa Simba, Milovan Cirkovic



kikosi cha Azam FC 


Toka mashindano ya Urafi Cup sasa Tusker Cup na Ligi Kuu Zitakutana mara kibao tu, mpaka zishakutana hii mara ya tatu.

Ratiba mpya Ligi Kuu Bara mwezi ujayo




Shirikisho la Soka Nchini (TFF) limesema kuwa litatoa ratiba kamili ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu ujao wa mwaka 2012/ 2013 Agosti Mosi mwaka huu.

Ligi hiyo itakayoshirikisha timu 14 kutoka mikoa mbalimbali nchini, itaanza Septemba Mosi mwaka huu.

Kabla ya ligi hiyo kuanza, kutakuwa na mchezo wa ufunguzi wa ligi hiyo wa Ngao ya Jamii utakaofanyika Agosti 25 kati ya mabingwa wa ligi hiyo, Simba dhidi ya mshindi wa pili, Azam.

Akizungumza na gazeti hili jana, Mkurugenzi wa Mashindano wa TFF, Saad Kawemba, alisema ratiba hiyo iko katika hatua za mwisho za kuihakiki na imezingatia majukumu ya timu ya taifa (Taifa Stars) na mashindano ya Klabu Bingwa Afrika na Kombe la Shirikisho.

Kawemba alisema pia ratiba hiyo itazingatia jiografia ya nchi yetu na TFF inazitakia klabu zote zitakazoshiriki ligi hiyo maandalizi safi ili ligi iwe na ushindani.

Timu zitakazoshiriki ligi hiyo inayotoa wawakilishi wa Bara katika mashindano ya kimataifa ni pamoja na mabingwa Simba, Azam, Yanga, Coastal Union, Mtibwa Sugar, Kagera Sugar, JKT Ruvu, JKT Oljoro, Mgambo JKT, Polisi Morogoro, Toto African, Prisons, African Lyon na Ruvu Shooting.

Simba ndio wawakilishi wa mashindano ya Klabu Bingwa Afrika mwakani wakati Azam kwa mara ya kwanza itapeperusha bendera ya nchi kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho.

Hata hivyo, mdhamini mkuu wa ligi bado hajatangazwa kutokana na TFF bado kuwa kwenye mazungumzo na kampuni ya huduma za simu ya Vodacom.

SSRA: Mafao ni miaka 55 kwa Wanachama wa NSSF, PPF


 
Mkurugenzi Mtendaji wa SSRA Bi Irene Isaka (kushoto)

Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), imesema kuanzia sasa mwanachama wa mfuko wowote hataruhusiwa kuchukua mafao yake kutokana na sababu yoyote mpaka hapo atakapofikisha miaka 55.

Hata hivyo, licha ya kuzuia fao la kujitoa na kutoruhusiwa kuchukua mafao yao, mwanachama wakiwamo wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Mfuko wa Pensheni ya Mashirika ya Umma NSSF) atapata fursa ya kupata mikopo ya nyumba kwa kutumia dhamana ya michango yake kama ilivyoelezwa kwenye sheria ya SSRA.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa SSRA, Irene Isaka, mabadiliko hayo yametokana na sheria za mamlaka hiyo kufanyiwa marekebisho na kupitishwa na Bunge Aprili 13, mwaka huu na kwamba imeshasainiwa na Rais Jakaya Kikwete  na imeanza kutumika rasmi.

Kwa mujibu wa marekebisho hayo fao la kujitoa yamefutwa na kuanzia sasa hayatakuwepo.
“Mafao hayo yalikuwa yanatolewa pale mwanachama alipokuwa anaacha kazi lakini kuanzia sasa mwanachama wa mfuko atapata mafao yake pale atakapofikisha umri wa kustaafu kwa hiari (55) au kwa lazima (60) au pale anapopata ulemavu wa kudumu” ilisema  taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na kufafanua kuwa:

“Marekebisho hayo kuhusu kuzuia mafao ya kujitoa yamefanyika ili kutimiza lengo na madhumuni ya hifadhi ya jamii ambayo ni kuhakikisha kuwa mwanachama anapostaafu anapata mafao bora yatakayomwezesha kumudu maisha ya uzeeni.

 Taarifa ya Mkurugenzi huyo iliendelea kusema  kuwa mafao ya kujitoa yanapunguza na kuondoa  kinga ya mfanyakazi pale anapoumia kazini au anapofika uzeeni.

Hata hivyo, ilisema pamoja na kuzuia fao la kujitoa, mafao mengine ambayo ni muhimu kwa sekta ya madini yataendelea kutolewa kama kawaida ikiwemo kuumia kazini pamoja na fao la ulemavu.

Ilisema wanachama wanatakiwa kuwa watulivu kuhusiana na mabadiliko hayo na kwamba maslahi  yao yatalindwa na hakuna atakayepunjwa kutokana na utaratibu huo.

BOA Tanzania yaanzisha mikopo ya Bima


BOA Bank


Benki ya Afrika Tanzania imezindua huduma ya mkopo wa bima kwa lengo la kuboresha huduma kwa wateja wake na kuongeza ubunifu.

Akizindua huduma ya mkopo huo jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Ammish Owusu-Amoah, alisema huduma hiyo ya mkopo wa bima itawasaidia wateja kukopeshwa fedha kwa ajili ya kulipia bima za vitu mbalimbali ambazo mara nyingi huhitaji fedha nyingi kwa wakati mmoja.

“Huduma hii itawasaidia wateja kuwa na nafasi ya kutumia fedha zao kwa maendeleo huku wakiendelea kulipa mkopo wa bima taratibu,” alisema.

Alifafanua kuwa mkopo huo utakuwa kwa watu binafsi, wafanyabiashara ndogo na kati pamoja na wateja wakubwa.

Alisema ni muhimu kwa watu kuweka bima ili kujihadhari na hatari zisizofahamika ambazo zinaweza kutokea wakati wowote.

Alifafanua kwamba huduma hiyo itasaidia wateja kupata mkopo ndani ya saa 24 na kuwezesha kulipa taratibu ndani ya miezi 10.  

Alitaja maeneo yanayolengwa kwa sasa kama bima ya maisha, bima ya magari, bima ya mali na bima ya biashara.

Kwa upande wake, Mkuu wa Kitengo cha wafanyabiashara wadogo na wa kati katika benki hiyo, Cyprian Massawe, alisema hiyo ni nafasi ya pekee kwa wafanyabiashara nchini katika kuendeleza biashara zao.

Alisema sasa bima imekuwa ni sehemu muhimu ya maisha ya kila siku sehemu mbalimbali duniani.

Alitoa mfano wa mafuriko yaliyotokea jijini Dar es Salaam na maeneo mengine ya nchini  hivi karibuni na kwamba yalisababisha hasara kubwa kwa kwa mali na maisha ya watu.

Friday, July 20, 2012

Rais atangaza siku tatu za maombolezo

Volunteers carry a recovered body of a passenger who died during the ferry tragedy at the Port of Zanzibar, July 19, 2012. REUTERS/Thomas Mukoya


Serikali imetangaza siku tatu za maombolezo kuanzia jana na bendera zitapepea nusu mlingoti nchini kote.
Medical personnel handed out blankets to the survivors

Pia, Rais Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Rais wa Zanzibar, Dk. Alli Mohamed Shein na ameahidi kwamba serikali itafanya uchunguzi wa kina kujua chanzo cha ajali hiyo.

Je itawezekana kweli? URA FC keen to finish top.


ura players 
URA FC players.
Uganda's representatives URA FC entertain Djibouti's Ports FC in their last group A game with a target of finishing top of the group. The tax men have so far recorded wins against last year's finalists Simba's SC (0-2) of Tanzania and DR. Congo's AS Vita (3-1) in their two opening games and sit on top of group A with six points. A win for the Ugandan side today will ensure that the club keeps a perfect record in the tournament with 3 wins out of 3 games.
Coach Alex Isabirye will miss the services of suspended defender Derrick Walulya and is expected to call on either Musa Doka or experienced Sam Mubiru to deputise in central defence and partner Sam Ssenkomi. The tax collectors will also be without injured Yayo Lutimba and Owen Kasule while anchor man Oscar Agaba is doubtfull for the tie. Augustine Nsumba, Said Kyeyune and Osama Farouk are set to replace the trio in midfield.
Erukana Nkugwa who is yet to make his debut for the club is also set to make an appearance in the game. Custodian Yasin Mugabi who has been superb so far is expected to maintain his spot in goal with Simeon Masaba and Allan Munaba playing in full back positions. Robert Ssentongo, Moses Feni Ali and Erisha Ssekisambu are expected to complete the front three in search for goals.

DSE plans sensitisation seminars on new EGM


Picha:Dar Es Salaam Stock Exchange Logo.jpg

The Dar es Salaam Stock Exchange (DSE), is due to start a sensational seminar by the end of this year, to educate the public on the new Enterprise Growth Market (EGM)
Speaking to The Guardian in Dar es Salaam yesterday, the DSE Manager, Research and Market Development, Mohamed Kailwa, talked about the new efforts to give more awareness to the community which he said is lacking.
So far the DSE has started students’ programmes for secondary and higher education that teach them on the EGM during trading session.
“We have made much effort in three regions, which are Coast, Dar es Salaam and Morogoro where have been sensitising small marketers about how this (new) second market is important to their businesses,” he said.
He added that the second market amendment has been taken to the government under the Capital Markets and Security Authority (CMSA).
He continued by saying that the aim of the project is to remove capital restrictions by allowing EGM advisors to do other businesses as well.
Before the amendment the EGM advisors were required to place 2bn/- in payment capital and not to carry out different businesses apart from EGM.
The DSE thought that some businesses, especially the small markets, have failed to join the bourse because of the legal restrictions. “By starting this new, second market it will help us to attract new and smaller businesses to the EGM,” he said.

Thursday, July 19, 2012

Jumuiya za Biashara Nchini Kuzindua Ripoti ya Mtazamo


Wakwanza kulia ni Bwana Gaston Kikuwi.


Jumuiya tatu za biashara nchini, Shirikisho la Biashara na Viwanda nchini (CTI), Shirikisho la Utalii nchini (TCT) na vikundi vya biashara ndogo ndogo (Vibindo), zinatarajia kuzindua ripoti ya mtazamo wa wafanyabiashara kuhusu mazingira ya biashara nchini.

Mbali na kuzindua ripoti hiyo, pia zitaendesha maonyesho ya vibonzo kuhusu mazingira hayo na kuzindua kipindi kipya cha redio kitakachozungumzia masuala yanayokwaza ustawi wa biashara  na uchumi nchini ambapo kitakuwa kikurushwa na kituo cha Radio One.

Mmoja wa waratibu kutoka Vibindo, Gaston Kikuwi, alisema uzinduzi huo utafanyika jijini Dar es Salaam ambapo wafanyabiashara na Watanzania kwa ujumla watapata fursa ya kutafakari hatua za kuchukua juu ya vikwazo vya biashara nchini.

Alisema ripoti itakayozinduliwa inajulikana kama 'Mitazamo ya Viongozi wa Biashara juu ya Mazingira ya Uwekezaji nchini ' ambapo ripoti hiyo itawahusisha pia wachoraji wa vibonzo.

“Ni matarajio yangu kwamba shughuli kama hii itawafanya wadau wote kuongeza bidii ya kuboresha mazingira ya biashara,” alisema Kikuwi.

Aliongeza kwamba mbali na uzinduzi huo, pia wataendesha shindano la wachoraji bora wa vibonzo juu ya mtazamo wa wafanyabiashara kuhusu mazingira ya biashara nchini.

Alisema wachoraji sita watakaofanya vizuri watapata zawadi ya jumla ya dola 4,000 za Marekani ambapo mshindi wa kwanza atazawadiwa dola 1,500.

Death toll rises to 38 in Tanzania ferry accident


 
Rescue team in Zanzibar
At least 24 people died after a ferry carrying 250 passengers capsized off the island of Zanzibar. (AAP) 
Floor view of the Ferry
ZANZIBAR, Tanzania — Officials say the death toll in a ferry accident off the coast of Tanzania has risen to 38.
A government statement on Thursday also said that more than 100 passengers are still missing, and 136 have been rescued.

Shikokoti vows to lift Kagame Cup, coach underrates Azam FC


 
Joseph Shikokoti who wear Tusker Jearsey

 Tusker captain and stalwart defender Joseph Shikokoti has expressed his belief that his club can win the Cecafa Kagame Cup.Speaking with The Citizen yesterday, Shikokoti, who won the title with Tusker in 2008, said Tusker are in the regional event for only one mission – redeeming Kenya’s football image by clinching the title.
“I won the title with Tusker in 2008 and this is a better squad than the one we had so we have the quality to do the same thing.”
“Experience will come in handy. I have been here before but it will be difficult because  Tanzania has strong teams in Yanga, Azam and Simba.
“Having played here I'm prepared to marshall this team to deliver what they need for Kenya,” the towering defender said.
Tusker are in group B comprising Azam and Mafunzo and their first match today will decide their position in the standing.
Meanwhile, Tusker head coach Sammy “Pamzo” Omollo says that his team is ready for the tournament.
“This is one tournament that we have been taking very seriously and the players are in excellent mental state.
I have been observing their character for the last one week and I can say we are ready for the tournament and we want to start with a win from the first match. The most important thing now is to top the group,” Pamzo said.
Tusker will play their first match this afternoon against Zanzibar’s Mafunzo. Omollo attended the match between Mafunzo and Azam played at the Chamazi grounds on Sunday and said: “I can say both teams are quite average. Not really the strong kind of opponents I thought they were. I observed both of them in that match though they were a little rigid and did not show off much of what they have to offer.
“All I can say is, if we will do everything right and keep our focus, we can win all the matches,” said a confident Pamzo.
“I compared them to Kenyan teams and I saw a lot of things that we can capitalise on from them. They are prone to too many mistakes and their attackers are also not as sharp,” added Omollo. The brewers have been holding morning training sessions at the University of Dar  es Salaam grounds. The last time they participated was in 2008, they won the cup.

Wednesday, July 18, 2012

BREAKING NEWS, Meli yazama na abiria 400muda huu ikielekea zanzibar


picha ya boti ya seagull


..na habari zilizotufikia hivi punde zinasema, Meli ya abiria (Wengine wanasema MV. Karama lakini habari nyingine zinasema ni seagul) ikiwa na watu 400 toka Dar es Salaam kwenda Zanzibar imezama muda huu karibu na Kisiwa cha Chumbe, waokoaji na wanahabari zaidi wameondoka kuelekea eneo la tukio, kwa taarifa zaidi uendelee kutupia jicho hapa!


source: http://mdimuz.blogspot.com/2012/07/breaking-news-meli-yazama-na-abiria.html

URA look to storm CECAFA quarters


turf 
URA FC Squad.

URA FC v Vital Club 2pm
Ports FC v Simba FC 4pm

URA FC head coach Alex Isabirye is optimistic that his side will collect all the three points in today’s game when they confront DR Congo’s Vital Club. 
A win will be enough to take the Uganda tax collectors through to the quarter finals.
“Though we did not concede, there were some silly mistakes which we have to avoid against Vital Club” Isabirye noted after the game against Simba.
A brace by Moses Ali Feni against home side Simba FC last Saturday gave the 2010/11 Uganda Super League champions a good start in this year’s CECAFA club championship campaign.

Probable URA FC line up:
Yasin Mugabi, Simon Masaba, Augustine Nsumba, Allan Munaaba, Derrick Walulya, Sam Senkoomi, Oscar Agaba, Owen Kasule, Yayo Lutimba, Ali Feni, Robert Sentongo.

Mali Journalists go on Strike


  
Malian journalists take to the streets of Bamako.
Journalists in Mali are staging a one-day strike today, meaning that no newspapers will be published and several radio stations will be silenced.
The strike is in protest at persistent attacks on the media in general and the specific attack on the editor of L'Indépendant, Saouti Haidara. He received a severe beating from a group of armed men on 12 July. His injuries were so bad he was flown to Dakar in neighbouring Senegal for treatment.
The striking journalists are marching on the office of the prime minister in Mali's capital, Bamako. "The authorities must offer security guarantees to journalists," said press club president Makan Koné.
In Paris, a protest is also due to take place outside the Malian embassy.

OUT Professor receives Global Education Award


 
Prof Tolly Mbwette talk with Journalists.

Open University of Tanzania (OUT) vice-chancellor Prof Tolly Mbwette has been awarded the International Academic Excellence Award for his outstanding contribution in the education sector.
The award was bestowed to him by the World Education Congress administering ‘Global Awards for Excellence in Education Leadership & Teaching’ at a ceremony in India recently.
He holds a PhD in Civil Engineering he obtained in London, the UK in 1989. His publications include Development and Exploitation of ICT Infrastructure and Services for Improved Teaching and Management of Research in African Universities.
Others are, Internationalisation of Higher Education in Africa and Focus Funding and Creating Real Impact for Higher Education in the sub-Saharan Africa Region.
His past consultancy works include Team Leader of the National University of Rwanda (NUR) in 2009/10, preparation of the NUR Human Resources Audit and Plans for Improved Management and Team Leader in the preparation of the New Organisational Structure and Participatory Organs for the College of Business Education (CBE).
The don participated in the preparation of a number of policies and plans, including the New Organisational Structure and Participatory Organs and Preparation for the NUR Student Affairs Policy, National Institute of Transport (NIT), Proposal for Student Unit Cost for Tanzanian Universities, and preparation of the Proposal for Upgrading Mbeya Technical College into Mbeya Institute for Science and Technology.
Meanwhile, OUT lecturer Dr Cornelia Muganda from the Faculty of Education received the Excellence in E-Learning Award at the same event.

Je Wajua? Zaidi ya 40% ya watanzania wa nje wanatuma Fedha kwa Simu..



A new Gallup study funded by the Bill & Melinda Gates Foundation has found that 44 % of Tanzanians who had sent money to family members or friends living in a different city or area in Tanzania did so via a mobile phone, making them the most likely to transfer money this way across several sub-Saharan countries.
Unsurprisingly Kenya was first with 76 %,  Uganda was third with 32% of remittance senders, to report that they had made a mobile phone-based transaction in the 30 days prior to the survey.
The study of 11 sub-Saharan African countries, "Payments and Money Transfer Behavior of Sub-Saharan Africans," took an in-depth look at sub-Saharan Africans' payment behaviours regarding domestic and international remittances, government and wage payments, utilities, and other bills.

In seven other sub-Saharan African countries surveyed, fewer than one in 20 senders of domestic remittances used mobile money transfer services.
 In Congo (Kinshasa) and Sierra Leone, for example, mobile phones were never used to make that kind of transaction. Respondents there sent cash or brought it in person. With the exception of Kenya, at least half of remittance senders in all countries surveyed used only these informal payment channels.
In more developed banking markets such as South Africa, Nigeria, and Botswana, bank transfers were a relatively popular way to send remittances domestically, with 33%, 29%, and 22% of senders, respectively, using this channel; however, rates of cash transactions were still high in these three countries.
Across the 11 sub-Saharan African countries surveyed, adults from rural areas and villages who sent domestic remittances were more likely to have sent this money via mobile phone transfer (28%) than those living in urban areas (13%). Urban residents were more likely to have used bank transfers (25%) than were rural residents (9%). A majority among both villagers and city dwellers still only sent domestic remittances in cash, either through someone else or in person.
The report also found that contrary to what is often believed, money in African countries is not necessarily mostly flowing from the cities to the rural areas or villages.
In fact, large city dwellers were only slightly more likely to have received domestic remittances than inhabitants of rural areas or villages.
Another interesting finding is that large city dwellers were as likely to have received money exclusively in cash or in person as inhabitants of rural areas or villages.
The report says this study seems to suggest that domestic remittances also often flow from city to city, instead of being mostly channeled from the large urban centers to rural areas.
Another interesting finding is that the typical story of men being senders and women being recipients of domestic remittances does not accurately reflect reality.
In fact, the data reveals that the differences in sending as well as in receiving domestic remittances between both genders are minuscule.
Thirty percent of women reported having received domestic remittances, compared to 28% of men. Men were only slightly more likely than women to having sent or brought money to family members or friends in the 30 days prior to the interview (21% vs. 18%).

Mh J M Kikwete kufungua ofisi za ALMA Dar


Rais J M Kikwete

Leo Rais amefungua ofisi ya ALMA (African Leadership Malaria Alliance) katika majengo ya CEEMI hapo NIMR. Hiki ni chama kilichoanzishwa na marais wa afrika kwa ajili ya kupunguza na kuondoa malaria katika nchi za Africa. Hiki chama kilianzishwa mnamo mwaka 2009 na mwenyekiti wake wa kwanza ni Rais J Kikwete wa Tanzania.

Sunday, July 15, 2012

WAPI ATCL NA PAA: QATAR, KENYA AIRWAYS EYE TANZANIA TOURIST CIRCUIT



Kenya Airways (KQ) and Qatar Airways are looking to further expand their flight services to Tanzania with an introduction of scheduled flights to Tanzania’s northern tourist circuit effective July of this year.
Kenya Airways’ Managing Director Titus Naikuni said the airline has added Kilimanjaro to its regular destinations starting with six flights a week in July up to end of September then fly daily flights from Nairobi to Kilimanjaro International Airport from early next year.
Qatar Airways will also start daily flights from Doha to the same airport during the same month of July. The launch of Qatar flights at Kilimanjaro comes at the onset of the tourism high season. Qatar Airways Chief Executive Officer Akber Al Baker said the airline would serve Kilimanjaro with an Airbus A320 via Nairobi.
The two airlines join other major international carriers landing in northern Tanzania including KLM Royal Dutch Airlines, Edelweiss Air, Condor Air, Rwanda Air, and Ethiopian Airlines, all targeting tourists flying to the area.
 
wapi precision Air kwenye hili jambo.

Tourists and othertravellers from Europe and America will have another option to reach Tanzania’s northern tourist circuit through Doha and Nairobi hubs, which provide air connections to big capitals and cities around the world such as London where Qatar Airways will soon introduce five flights a day from its hub in Doha.
In Africa alone this year, Qatar Airways has pursued its strategy aggressively of focusing on underserved markets. The carrier recently launched daily scheduled services from its Doha hub to Kigali, the capital of Rwanda in East Africa.
Come August of this year, the airline will introduce daily flights to the Kenyan tourist town of Mombasa on the Indian Ocean coats, its second point in Kenya, with both destinations aimed largely at the leisure market.
Effective October this year, Qatar Airways will expand its operations in Africa with launching of scheduled flights to Mozambique. The three weekly flights between Doha and the Mozambican capital of Maputo will be operated by long-haul Boeing 777 aircraft via Johannesburg in South Africa. The former Portuguese colony in southern Africa becomes Qatar Airways' fourth new route across the diverse African continent to be launched during 2012.
"Mozambique is a great example of a market that we believe has great potential linking up with key feeder markets in Europe, Asia, and other parts of the world,” said Al Baker.
Qatar Airways has seen rapid growth in just 15 years of operation, currently operating a modern fleet of 109 aircraft to 116 key business and leisure destinations across Europe, Middle East, Africa, Asia Pacific, North America, and South America.

Azam kutupa karata ya kwanza Kagame Leo

Kikosi cha Azam FC katika michuano ya Urafiki
Baada ya kuukosa ubingwa wa Urafiki siku ya Alhamisi, kesho (yaani leo) saa 10 jioni Azam FC watatupa karata yao ya kwanza katika michuano ya Kagame Cup, ikshiriki kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa Azam FC watakapo wakabili Mafunzo FC.

Azam FC na Mafunzo FC toka Zanzibar watachuana katika uwanja wa Azam uliopo Chamanzi, na mara ya mwisho vikosi hivi kukutana ni katika michuano ya kombe la Urafiki ambapo Azam FC waliichapa Mafunzo magoli 3-2.

Mafunzo hawana historia ya kuwafunga Azam FC katika michezo mbalimbali walio kutana.

Chanzo: http://azamfans.blogspot.com/2012/07/azam-kutupa-karata-ya-kwanza-kagame.html

Ujumbe wa Leo Kagame Cup toka simba..

 http://kandanda.galacha.com/wp-content/themes/LondonLive/thumb.php?src=http://kandanda.galacha.com/wp-content/uploads/2012/06/cirko.jpg&w=340&h=192&zc=1&q=100
Milovan Cirkovic

Kocha Mkuu wa Simba, Milovan Cirkovic amewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kujionea wenyewe uwezo wa timu yao.
Alisema ana imani kubwa na kikosi chake kutokana na maandalizi waliyopata kwenye mechi za kujipa nguvu zikiwamo za michuano ya Urafiki iliyofikia tamati Alhamisi wakitwaa ubingwa kwa kuifunga Azam FC.
“Nawasihi wapenzi na mashabiki wa Simba, wajitokeze kwa wingi kuishangilia timu yao kama walivyofanya katika Ligi Kuu iliyopita hadi kutwaa ubingwa, ” alisema Milovan.
Mechi hiyo kati ya Simba na URA, itatanguliwa na mechi nyingine ya kundi hilo kati ya Vita Club ya DR Congo dhidi ya Ports ya Djibouti, itakayoanza saa 8 mchana kwenye uwanja wa Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

Friday, July 13, 2012

SAMSUNG GALAXY S III TO RETAIL AT TSH 1.3 MILLION


By Bethuel Kinyori
Samsung Limited is planning to score a first in the smartphones league with its launch of the Galaxy S111 in Tanzania by the end of July.
We have received confirmation from the head office in Nairobi that the S11 will be officially launched in the Tanzanian market by mid July,” said a source from Samsung who declined to be mentioned since he is not the spokesperson.
“The phone will be sold to eager customers at a price range of Tsh1.3 to 1.4 million,” he added. Tanzania will be the fourth African country to have the phone being sold after South Africa, Nigeria and Kenya.
The Galaxy S111 is android-powered with super amoled display screen that enhances its high definition user interface features, it has a front camera that recognises its user, thus can be controlled by opening and closing one’s eyes to unlock it or lock it.
The handset itself is massive, measuring 136.6mm tall, 70.6mm wide and boasting a waistline of 8.6mm - which is basically as thin as its predecessor, the Samsung Galaxy S II, but much bigger.
It also has an S – Voice device that recognizes human sounds hence allowing the user to customize it to suit his or her needs. With the application, you can set it to respond with a “Hey , get up,” command.
The phone has a host of other embedded android and Samsung applications and will be available at selected Samsung centres in Dar es salaam.
“The phone enables for seamless human -phone interaction with integrated superior hardware to enhance usability and practicability,” said a Samsung East Africa business leader Robert Ngeru recently

MWANGA COMMUNITY BANK TO SIGN CONTRACT WITH VODACOM

 

By Corporate Digest Correspondent
Mwanga Community Bank Limited (MCBL), will soon sign a contract with Vodacom Tanzania to establish M-Pesa services in a bid to enable customers to use mobile money solution to either deposit, withdraw, send money or repay bank  loans.
Speaking in an interview with Corporate Digest, the managing director for MCBL, Abby Ghuhia, said they expect to officially launch the M-Pesa service soon after penning the deal with Vodacom.
This will bring financial inclusion to the surrounding community and has the advantage of letting bank customers transact without going to the bank physically."
Currently, MCB is also an agent for TiGo-Pesa whereby customers can repay their bank's loan, withdraw money or send money through these services.
In another front, MCBL is set to extend its Umoja Switch ATM services with the aim of taking services closer to the people.

The MD for MCBL, said that the service will ease the problem of lack of branches as customers will be able to withdraw money on any ATM connected to the through Umoja Switch service.
The banks that use Umoja Switch ATMs include; Azania Bank Ltd., Akiba Commercial Bank (ACB), Dar es Salaam Community Bank (DCB), Tanzania Investment Bank (TIB), Twiga Bancorp, Tanzania Postal Bank (TPB), Tanzania Women Bank (TWB), Bank of Africa (BoA), Mwanga Community Bank (MCB) and Access Bank among others.
Immediately after the launch of ATM services, MCB plans to install ATMs in different areas so as to move closer to the people.
"Customers with VisaCard ATMs, which are used on many banks can also access their money. These banks include CRDB, NBC, and Standard Chartered etc," he said.

Source: Corporate-digest

Willy Mukama ataka mfumo mpya wa uchaguzi..


Mukama akiongea na waandishi wa habari.

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilson Mukama, amekosoa mfumo wa uchaguzi uliopo wa mgombea kuchaguliwa kwa kupigiwa kura, badala ya chama husika.
Alisema kuwa mfumo huo unawanyima fursa wapiga kura wa mshindi wa pili wa uchaguzi, kupata uwakishi katika mambo mazito ya mendeleo.
Mukama alisema hayo jijini Dar es Salaam jana wakati akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungwa kwa mkutano wa uwezeshaji wa vyama vya siasa kifedha.
“Suala hili limekuwa likizungumza sana katika vyama kwamba ili ushinde lazima uwe na asilimia kubwa kwenye uchaguzi, naweza kusema ni kweli au sio kweli, lakini sheria ya vyama inazingatia wingi wa kura, hivyo mfumo wa uchaguzi sio mzuri ambao mshindi hushinda kwa kura,” alisema.
Kwa mujibu wa Mukama, mfumo huo ambao humpa mshindi mtu aliyesimamishwa na chama, badala ya chama husika na kuwanyima fursa wapiga kura wa mgombea mwingine kutoa maoni yao baada ya kushindwa katika uchaguzi.
Akitolea mfano wa kiti cha ubunge, alisema wabunge wengi huchaguliwa kwa mfumo huo badala ya kuteuliwa na chama husika ambapo mwisho wa uchaguzi mshindi huamriwa kwa kuangalia uwingi wa kura alizopata.
Mukama alibainisha kuwa hatua hiyo inasababisha na kuzindisha mgawanyiko miongoni mwa wananchi na hivyo akataka kuwa na utaratibu mpya wa kuchaguliwa chama pamoja na kumpata mshindi kwa uwiano wa kura.
Awali, Mwenyekiti wa chama cha CUF, Ibrahim Lipumba, alisema mkutano huo umekuwa wa manufaa kwao kutokana na kujifunza mambo mbalimbali kuhusu vyama vya siasa.

Chanzo Tanzania Daima

Thursday, July 12, 2012

Leo ni Urafiki Cup Fainali kati Azam FC na Simba SC

http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/slides/mazoezi2.jpg
wachezaji wa Azam FC wakiwa mazoezini.


wachezaji wa simba wakiwa mazoezini.

Leo ni shughuli kweli kweli nani ataibuka kidedea hapo Taifa..

Wachezaji wa City Wakipiga mazoezi dhidi ya Al-Hilal

http://content.mcfc.co.uk//~/media/Images/Home/News/Picture%20of%20the%20Day/POTD%2011%20July.ashx  

Roberto Mancini oversees training as the players prepare for Friday's pre-season friendly against Al-Hilal.

Wazenji: Katiba mpya wataka iwape wabunge na wawakilishi muda miaka 10 tu.

 
MB wa Wawi Mh. Hamad, Mh. Mizengo na Mh Leticia

BAADHI ya wakazi wa Zanzibar wametaka Katiba Mpya iweke kipindi cha ubunge na uwakilishi kiwe miaka 10 kama ilivyo kwa Rais ili kuimarisha demokrasia nchini.Wakitoa maoni kwenye Mkutano wa kusaka maoni ulioandaliwa na Tume ya Katiba mjini hapa walisema  lazima wabunge wawe na miaka 10 kama ilivyo kwa Rais badala ya kutaka wawe wabunge milele.

Abdallah Khamis Abdallah (54) na Bakar Mwinyi Mussa (63) wa Mitakawani walitaka wabunge wa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wawe na muda maalumu wa uongozi wa miaka 10 kama ilivyo kwa Urais.
Abdallah pia alitaka Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu na vyeo vingine vya juu wakistaafu wawe kama wananchi wa kawaida wasienziwe kama ilivyo sasa kwani ni gharama kubwa kwa uchumi wa Taifa.

“Rais ana pensheni kubwa na marupurupu mengi kwa hiyo alipwe akawe kama mwananchi wa kawaida asiendelee kutunzwa ma Serikali,” alitoa maoni yake kwa Tume inayochukua maoni juu ya kuandikwa kwa Katiba Mpya.Alitaka pia rasilimali za Taifa ziwe za Muungano na zimilikiwe na dola.


Katika hatua nyingine wakazi wengi waliotoa maoni yao juu ya kuandikwa Katiba Mpya nchini walitaka mfumo wa sasa uendelee, lakini Rais wa Zanzibar awe Makamu wa Rais wa Muungano.

Wakitoa maoni yao katika maeneo ya Mgeni Haji, Mitakawani na Uzini, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja jana walipendekeza mfumo wa Serikali ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar uendelee.

Lakini wananchi hao walitaka Rais wa Zanzibar awe Makamu wa Rais wa Muungano badala ya kuwa waziri katika Muungano kama ilivyo sasa.Pia wananchi hao walitaka kero zote za Muungano ziondolewe ili Muungano uimarike na misaada kutoka nje igawiwe kwa pande zote mbili za Muungano yaani Bara na Zanzibar.

Awali mkazi Zanzibar, alishauri Katiba Mpya iwe na kipengere kitakachowatoa Ikulu Marais wanaomaliza muda wao na kutaka kugombea awamu nyingine ili wanapogombea wawe wanatoka nyumbani kwao badala ya kutoka Ikulu.

Akitoa maoni yake mbele ya Tume ya Katiba iliyopo Mkoa wa Kusini Unguja, Hassan Pandu Ibada (40) mkazi wa Mpapa, Wilaya ya Kati alieleza kuwa Rais anapaswa kutoka Ikulu wakati wa uchaguzi.
Alitaka Katiba Mpya itoe nafasi ya kuwapo kwa Rais wa muda ambaye baada ya uchaguzi atamkabidhi madaraka aliyeshinda katika uchaguzi mkuu.

“Rais akiwa wa Muungano au wa Zanzibar asitoke Ikulu na kwenda kwenye viwanja vya kampeni kuwania urais, aondoke Ikulu ili awe sawa na wagombea wengine,” alieleza mwananchi huyo .

Waganga wa Tiba Asili waanzisha Saccos huko Geita

 
Hili ni eneo la Mgodi Huko Wilayani Geita..

WAGANGA wa Tiba Asilia wa Kijiji cha Katoro (Uwaka), wilayani Geita, wameamua kuanzisha Chama cha Akiba na Mikopo (Fongong’o Saccos),  kwa lengo la kukopeshana fedha kuondokana na wimbi la umaskini, baada ya Serikali kusitisha shughuli zao kwa muda mrefu.

Wakizungumza kwenye kikao kilichoketi chini ya Mwenyekiti wake, Charles Kabaka,  waganga hao walisema kutokana na kazi zao kusimamishwa kwa muda mrefu, wameamua kuunda Saccos ili kupata fedha za kuendesha maisha.

Pia, walisema hatua hiyo inalenga  kubadilisha na mawazo kuhusu kazi zao pale Serikali itakapowaruhusu kuendelea.
Waliomba Serikali kushirikiana nao pale wanapotoa taarifa za baadhi ya wenzao wanaopiga ramli, zinalenga kuua albino na vikongwe ili kukomesha mauaji hao.

Kwa upande wake, Kabaka aliomba jamii kuachana na imani potofu za ushirikina, kwani haamini kumuua albino ni utajiri na kuongeza kuwa, vikongwe wanaouawa ni wazazi wao ambao hawana hatia yoyote.

Kabaka alisema chanzo cha mauaji hao ni wale waganga matapeli, hivyo iwapo Serikali ikishirikiana kuwafichua itakomesha mauaji hao na kuwafanya kuaminika kwa jamii.

Naye Jastumin Mussa, alikemea tabia ya baadhi ya waganga wanaokiuka maadili ya kazi yao suala ambalo wankwaenda kinyume na sheria za nchi na kuwaomba waganga ambao hawajajiunga kwenye vikundi, kujiunge mara moja ili kubadilisha na mawazo jinsi ya kutoa huduma sahihi.

Wednesday, July 11, 2012

Azam FC: Tchetche, Tutafanya mambo Kagame

  Kipre Tchetche

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Kipre Tchetche, anajipanga kufunga mabao mengi katika michuano ya Kombe la Kagame ili kuipa mafanikio timu yake na kuthibitisha ubora wao kwenye ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.

Tchetche ambaye ni raia wa Ivory Coast, Watanzania wanamkumbuka kwa mabao yake ya dakika za mwishoni alipokuwa akiingia kipindi cha pili wakati akichezea timu ya taifa lake katika michuano ya Kombe la Chalenji mwaka juzi.

Akizungumza na Mwanaspoti, Tchetche, ambaye alifunga mabao sita kwenye Ligi Kuu Bara msimu uliopita, alisema: "Kazi yangu ni kufunga, nataka kufunga mabao mengi kadiri niwezavyo. Kwa sasa naisubiri Kagame ili kuipa mafanikio timu yangu.
"Naamini naweza kufanya hivyo kwa ushirikiano wa wenzangu."

Katika michuano ya Kombe la Ujirani Mwema inayoendelea hapa Zanzibar, amefunga bao moja.

Tchetche, ambaye yumo kikosini hapo na pacha wake, Kipre Bolou, ndiye mchezaji anayetarajiwa kuing'arisha safu ya ushambuliaji ya Azam pamoja na George Odhiambo Blackberry, John Boko Adebayor, Mrisho Ngassa na Gaudence Mwaikimba.

Wananchi watengeneza wenyewe barabara, Huko Mwika - Moshi

http://www.smmuco.ac.tz/images/image_ssmco_town.jpg 
chuo cha SMMCo huko Mwika Moshi

KUFUATIA kero ya ubovu wa barabara waliyokuwa wakipata wananchi wa Kijiji cha Mrimbo Uuwo, Kata ya Mwika Kaskazini, wilayani Moshi, mkoani Kilimanjaro, hatimaye wameamua kuitengeneza kwa nguvu zao.

Wananchi hao waliamua kuchukua uamuzi huo baada ya barabara za kijiji hicho zenye urefu wa kilomita 12.3 kupitika kwa shida, huku nyingine kutopitika kutokana na mashimo.

Mwenyekiti wa kijiji hicho, Rumishaeli Mariki, alisema matengenezo hayo yako chini ya mradi wa barabara wa kijiji unaotegemea fedha kutoka kwa wananchi.

 “Tulikaa kwenye mkutano mkuu wa kijiji na tukapitisha maazimio kila kaya ichangie Sh5,000 kwa ajili ya kutengeneza barabara zetu, ambazo zimeharibika na zinapitika kwa shida, wananchi walipokea jambo hilo na tayari wamechanga Sh1.3 milioni,” alisema Mariki.

Mariki alisema kijiji hicho kina kaya 1,150 na kwamba, wanaanza kukarabati kilomita tano kwa kuchimba na kushindilia kwa kutumia katapila, kadri fedha zitakapopatikana ndivyo barabara nyingine zitafanyiwa matengenezo.

Alisema barabara hizo ni muhimu kwa shughuli za biashara, lakini zaidi zimekuwa zikitumika kwa wananchi kwenda Zahanati ya Uuwo kupata huduma ya afya na kusafirisha mazao yao kutoka mashambani.

Alisema kila mwaka wamekuwa wakiziombea ruzuku barabara hizo, kutoka halmashauri lakini hakuna mafanikio ndiyo maana wameamua kutumia nguvu zao ili Serikali iwaunge mkono.

Moshi yasimama baada ya wamiliki wa vyombo vya usafiri kugoma..

 
Mt. Kilimanjaro huko Moshi

Vuta nikuvute kati ya uongozi wa Manispa ya Moshi, madereva na viongozi wa chama cha usafirishaji kanda ya Kaskazini (Akiboa), ya kupinga ongezeko la ushuru katika kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi, imeingia siku ya tatu huku wananchi wakiendelea kutaabika.

Kwa siku ya jana kumekuwa na mgomo usio na kikomo ambapo tangu asubuhi daladala zote zinazotoa huduma ya usafiri mjini hapa, nje ya mji kwa maana ya wilayani na kwenda mkoani Arusha, ziligoma na kuondoa magari katika kituo cha mabasi.

Madereva na wamiliki wa magari yanayofanya safari zake mkoani Kilimanjaro na Arusha, kugoma kufanya kazi kwa kile wanachodai kuwa ni kutoshirikishwa katika mchakato wa kupandishwa kwa ushuru kutoka Sh. 1,000 hadi 1,500 kwa magari madogo na Sh. 2,000 kwa magari makubwa.

NIPASHE ilishuhudia abiria wakiwa wametanda maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi, husasani katika kituo kikuu cha mabasi huku wakiwa hawajui hatma yao, huku suala hilo likiwa ni neema kubwa kwa madereva teksi, Noah na pikipiki, ambao walibeba abiria kwa gharama kubwa.

Akizungumzia sakata hilo, Mwenyekiti wa Akiboa, Husseini Mrindoko, alisema hawako tayari kulipa
ushuru huo na kuongeza kuwa watarudisha magari yao barabarani hadi ushuru utakaporudishwa Sh. 1,000 kama iliyo kuwa awali.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi, Christopher Mtamakaya, alisema utaratibu wa kupandishwa kwa ushuru ulifuata hatua zote za kisheria na kwamba kabla ya kupitishwa wadau wote walishirikishwa hatimaye kufikia kusainiwa na Waziri Mkuu kwa ajili ya utekelezaji.

Kaimu Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Ibrahim Msengi, akitoa msimamo wa serikali kuhusu mgomo huo alisema, serikali inatambua adha wanayoipata wananchi na kuwataka wawe wavumilivu wakati ikilitafutia ufumbuzi.

Kumekuwa na malalamiko ya baadhi ya vyama vya siasa kujiingiza katika sakata hilo na kuchochea mgomo huo.

Baadhi ya abiria waliongea na NIPASHE, Neema Msuya na Elisamehe Juma, walisema mgomo huo umewaathiri kwa kiasi kikubwa kwani wemeshindwa kufika kazini kwa wakati.

“Nimetoka nyumbani nakwenda hospitali ya rufaa ya KCMC kuangalia mgonjwa, nimekwama hadi saa 1:30 asubuhi sijapata usafiri…tunaiomba serikali kuingilia kati kutatua suala hili, watu waache ushabiki ambao mwisho wa siku wanaoumia ni wananchi, nimetumia shilingi 4,000 kwenda na kurudi KCMC,” alisema Abel Anthony.

Mkoani Arusha abiria walionja adha ya mgomo huo baada ya kukwama kwa wale waliokuwa wakitoka mjini hapa kwenda Moshi hasa nyakati za jioni jana.

Majira ya asubuhi mamia ya abiria walipanda mabasi makubwa yanayofanya safari zake kutoka mjini Arusha hadi mikaoni mingine kama ya Tanga, Dar es Salaam na Morogoro.

Kwa kawaida mabasi mengi yanayoenda mikoa hiyo huanza safari zake alfajiri hadi majira ya saa 5 asubuhi, hali ambayo inawawezesha abiria wanaoshuka mjini Moshi kupanda mabasi hayo.

Ugumu wa usafiri ulionekana zaidi jioni, baada ya abiria kutoka sehemu mbalimbali mkoani hapa na wengine kutoka Babati kukosa usafiri wa kwenda mjini Moshi.

Tuesday, July 10, 2012

Kesho ni Fainali ya Urafiki Cup..


 Pichani: Mchezaji wa Azam na Simba huyo wa nyuma.

 
Wachezaji wa azam fc wakiwa mazoezini.

Kesho katika fainali ya Urafiki Cup iliyoaandaliwa na ZFA huko Zenji nani ataonekana mbabe zaidi ya mwenzake baada ya hatua ya makundi kuchoshana nguvu.

Mashine za kuuza kondomu kufungwa vyuoni.

File:Nkrumah.JPG 
Nkrumah hall UDSM

SHIRIKA linalotoa Elimu na Huduma za Afya, PSI-Tanzania, lina mpango wa kuweka mashine za kuuza kondomu katika maeneo ya vyuo vikuu mbalimbali nchini.
Hatua hiyo inakuja kutokana na kilio cha wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kuomba uwepo utaratibu utakaorahisisha upatikanaji wa kondomu katika Hosteli ya Mabibo.
Akizungumza na Tanzania Daima kwenye Maonesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa yaliyomalizika rasmi jana, Mshauri Mtaalamu wa Programu ya Ukimwi wa shirika hilo, Dk. Alex Ngaiza, alisema kwa sasa wameamua kujikita kusambaza kondomu kwenye maeneo hatarishi ikiwemo vyuo vikuu.
Akifafanua zaidi kuhusu ili alisema wana mpango wa kuhakikisha ATM hizo zinakuwa chini ya serikali za wanafunzi ili mpango huo uweze kuwa endelevu ambapo kwa kuanzia wana mpango wa kupeleka huduma hiyo katika vyuo 20 kikiwamo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).
 
Nembo ya IFM

“Kama shirika, tuliguswa na hivi karibuni mmoja wa viongozi wa Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu cha UDSM (DARUSO) pale alipoiambia kamati ya Bunge kuwa maambukizi ya virusi vya ukimwi chuoni hapo yanachangiwa na tatizo la kutopatikana kondomu kwa urahisi.
Akiitolea mfano Hosteli ya Mabibo, mwanafunzi huyo alisema kuwa kondomu zinapatikana kwenye zahanati ya chuo, hivyo ikishafungwa nyakati za usiku si rahisi kupata kondomu na kushauri kuwe na utaratibu wa kuziweka kwenye maeneo mbalimbali ya hosteli hiyo ikiwa ni pamoja na chooni ili waweze kuzipata kwa urahisi. “Hivyo kutokana na ushauri huo tukaona hatuna budi kuchukua hatua”, alisema Dk. Ngaiza...
Hata hivyo Dk. Ngaiza alikiri kwamba matumizi ya kondomu nchini bado si ya kuridhisha, ingawa kuna mwamko ikilinganishwa na ilivyokuwa huko nyuma.

Hii sasa kali: Benki ya Dunia yawakera wabunge


Mjengoni Dodoma

WABUNGE wamesema Benki ya Dunia ni miongoni mwa vikwazo vya upatikanaji wa maji katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
Masikitiko hayo waliyatoa jana bungeni walipokuwa wakichangia hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maji.
Mbunge wa Maswa Mashariki, Sylvester Kasulumbayi (CHADEMA), alisema miradi mingi ya maji inayofadhiliwa na benki hiyo mpaka sasa inasuasua na kubainisha kuwa haridhishwi na kasi ya upatikanaji wa maji licha ya serikali kudai ni sikivu.
Alisema haoni usikivu huo kwa sababu haijawapelekea huduma ya maji na matokeo yake ni wananchi kuishi maisha ya dhiki.
Mbunge wa Bukene, Seleman Zedi (CCM), aliitaka serikali ieleze mradi wa maji ya Ziwa Victoria ulioahidiwa na Rais Jakaya Kikwete, kwamba utafika mkoani Tabora kabla ya mwaka 2015.
Alisema kuwa, mradi huo muhimu unaoonekana kutokamilika kabla ya mwaka huo, unatakiwa kukamilika kama Rais Kikwete alivyoahidi.
 
Makao makuu ya Benki ya Dunia

Kwa mujibu wa Zedi, ahadi ya rais haitakiwi kufanyiwa mzaha na badala yake inatakiwa kutekelezwa kwa haraka ili wananchi wa Tabora waondokane na kero ya maji inayowakabili.
Katika hatua nyingine, alisema tafsiri ya upatikanaji wa maji ya uhakika inayoelezwa na Serikali, haiwezi kukubaliwa kwa kuwa baadhi ya maeneo hayana maji ingawa Serikali inasema maji yanapatikana kwa wingi.
Naye Mbunge wa Kasulu Vijijini, Agripina Buyogela (NCCR-Mageuzi), alisema haridhishwi na kasi ya miradi ya maji inayofadhiliwa na Benki ya Dunia.
Alisema pamoja na umuhimu wa maji nchini, miradi hiyo haijakamilika na kwamba umefika wakati sasa Serikali iseme itakamilika lini ili kukabiliana na matatizo ya maji yanayowakabili wananchi.
Mbunge wa Kigoma Mjini, Peter Selukamba (CCM), alisema kama Vita Kuu ya Tatu ya Dunia itatokea, inaweza kusababishwa na ukosefu wa maji.
Selukamba ambaye alisema haungi mkono bajeti hiyo, alisema ili kuondokana na uhaba wa maji unaowakabili Watanzania, Serikali inatakiwa kuanza kuvuna maji ya mvua na yaliyoko kwenye vyanzo vingine vya maji.
Akizungumzia upatikanaji wa maji Mjini Kigoma, alionyesha mshangao na kusema licha ya mkoa huo kuwa na Ziwa Tanganyika, wananchi wa mji huo hawana maji ya uhakika jambo ambalo alisema haliwezi kuvumiliwa.