Friday, July 20, 2012

Rais atangaza siku tatu za maombolezo

Volunteers carry a recovered body of a passenger who died during the ferry tragedy at the Port of Zanzibar, July 19, 2012. REUTERS/Thomas Mukoya


Serikali imetangaza siku tatu za maombolezo kuanzia jana na bendera zitapepea nusu mlingoti nchini kote.
Medical personnel handed out blankets to the survivors

Pia, Rais Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Rais wa Zanzibar, Dk. Alli Mohamed Shein na ameahidi kwamba serikali itafanya uchunguzi wa kina kujua chanzo cha ajali hiyo.