
picha ya boti ya seagull
..na habari zilizotufikia hivi punde zinasema, Meli ya abiria (Wengine wanasema MV. Karama lakini habari nyingine zinasema ni seagul) ikiwa na watu 400 toka Dar es Salaam kwenda Zanzibar imezama muda huu karibu na Kisiwa cha Chumbe, waokoaji na wanahabari zaidi wameondoka kuelekea eneo la tukio, kwa taarifa zaidi uendelee kutupia jicho hapa!
source: http://mdimuz.blogspot.com/2012/07/breaking-news-meli-yazama-na-abiria.html
 
 
 
 Tanzanian Shilling Exchange Rate
    Tanzanian Shilling Exchange Rate