MKOA wa Singida  umeanzisha mashamba  darasa 303 katika maeneo 
mbalimbaliya vijijini kama  njia mojawapo ya kukabiliana na  tatizo la  
upungufu wawataalamu wa ugani.
Mshauri wa kilimo katika Sekretarieti ya mkoa huo, Deusdedit Rugangiraamesema hivi sasa kunawataalamu wa ugani 80 tu kati ya 420 wanaohitajika ili kuwezakuwahudumiavyema wakulima vijijini.
Alisema kutokana na hali hiyo, wameona kuna haja ya kuanzisha mashamba darasa hayo, ili yawawezeshe wakulima wa maeneo husika kutembelea na kujifunza juu ya kilimo bora.
Rugangira alisema, lengo ni kuhakikisha kuwa wakulima wanajengautamaduni wa kuzingatia ushauri wa kitaalamu kwa kutumia mbegu bora,mbolea na kulima kwa wakati muafaka ili kuongeza tija.
Source: Mwananchi
Mshauri wa kilimo katika Sekretarieti ya mkoa huo, Deusdedit Rugangiraamesema hivi sasa kunawataalamu wa ugani 80 tu kati ya 420 wanaohitajika ili kuwezakuwahudumiavyema wakulima vijijini.
Alisema kutokana na hali hiyo, wameona kuna haja ya kuanzisha mashamba darasa hayo, ili yawawezeshe wakulima wa maeneo husika kutembelea na kujifunza juu ya kilimo bora.
Rugangira alisema, lengo ni kuhakikisha kuwa wakulima wanajengautamaduni wa kuzingatia ushauri wa kitaalamu kwa kutumia mbegu bora,mbolea na kulima kwa wakati muafaka ili kuongeza tija.
Source: Mwananchi
 
 
 
 Tanzanian Shilling Exchange Rate
    Tanzanian Shilling Exchange Rate