Sunday, June 1, 2014

Stars Yasonga mbele hatua za kufuzu AFCON



Na Mwandishi wetu
Ni baada ya kutoka sare ya mabao mawili kwa mawili dhidi ya Zimbabwe. Huku magoli ya stars yakifungwa na Nadir Haroub pamoja na Thomas Ulimwengu..

Baada ya ushindi huu itavaana na Msumbiji